taifa linaendelea kuibiwa na mafisadi wageni na wazawa, umaskini unaendelea kushamiri, amani inaelekea kutoweka mfano mara, viongozi macho yote kwenye uchaguzi ujao, je umaskini wa watanzania waliochoka unanafasi gani ?
nani mkombozi wa maskini?
jeshi linanafasi gani katika kumkomboa mnyonge na kulinda rasilimali zetu na kuzuia ufisadi?
lakini tume ya uchaguzi ni mali yao, unadhani ni mpaka lini wananchi wataendelea kuteseka?Badala ya kutumia shortcuts za Kijeshi, tuwaelemishe wananchi kutumia vizuri kura zao na kulinda demokrasia.
Badala ya kutumia shortcuts za Kijeshi, tuwaelemishe wananchi kutumia vizuri kura zao na kulinda demokrasia.
taifa linaendelea kuibiwa na mafisadi wageni na wazawa, umaskini unaendelea kushamiri, amani inaelekea kutoweka mfano mara, viongozi macho yote kwenye uchaguzi ujao, je umaskini wa watanzania waliochoka unanafasi gani ?
nani mkombozi wa maskini?
jeshi linanafasi gani katika kumkomboa mnyonge na kulinda rasilimali zetu na kuzuia ufisadi?
Godwin 60% ya bajeti yetu inategemea kupata msaada kutoka nje, kila kona ya duniani dhana ya utawala bora na demokrasia vimeshika kasi, wanajeshi wakiingia hali itakua ngumu zaidi., kwani tutatengwa, wa TZ hawajachoka na sidhani kama watachoka hivi karibuni wakichoka wataingia barabarani na watapiga kambi kwenye mjengo karibu na soko la samaki wakiwataka watawala wao wang'oke!
Badala ya kutumia shortcuts za Kijeshi, tuwaelemishe wananchi kutumia vizuri kura zao na kulinda demokrasia.
unadhani mataifa yanayotoa msaada hayanufaiki na taifa letu? tz ni nchi tajiri kuliko wanaotupa msaada; kwani tuna madini na zaidi tambua kwamba gesi tuliyonayo inamnufaisha mgeni na tunaambiwa kwamba songgas inajiendesha kwa hasara; watanzania wanatakiwa kutoogopa tawala za kijeshi kwani kuna nchi ambazo tutaendelea kufanya nazo biashara kama china cuba venezuela; nadhani imefika wakati wa kuweka namna ya kampuni za kigeni lazima kugawa hisa kwa serikali na hii inaweza kufikiwa kwa shinikizo la kijeshi kwani BUNGE NA VYAMA VYA KISIASA vimeshindwa;
jeshi lina nafasi gani katika hilo?