Mimi naona nchi kuwa na Jeshi halafu kutumia hao hao wanajeshi kulinda kiwanda cha mfanyabiasha ni matusi mazito sana kwa vijana wetu wanaojiunga na hilo jeshi. JKT...Jeshi la Kujenga Taifa..key word "JESHI".
Kama wanaona wanaweza kufanya biashara basi walivunje hilo JKT kisha waanzishe kitu kama Blackwater ili afanye kazi au biashara watakazo.
JESHI limedekezwa mno wakidhani kazi ni kupigana kwa bunduki tu. Tukubaliane wana jf KUWA jESHI LA 2009 LINAHITAJI KUPANGWA ILI SIO TU KUFANYA KAZI ZA ULINZI BALI PIA KUZALISHA MATREKTA, KOMPYUTA, SATELAITI, MAGARI, NDEGE, MALORI YA KIVITA, NA VIFAA MBALIMBALI VYA KIRAIA NA KIJESHI KWA MATUMIZI YA wATANZANIA NA MAUZO NCHI ZA NJE!