micaely michael Member Joined Jul 31, 2015 Posts 85 Reaction score 9 Nov 15, 2015 #1 _mshambuliaji wa manchester united jesse amejumuishwa kwenye kikosi cha england kitakacho pambana na france siku ya jumanne.ikiwa ni mara yake ya kwanza kuitwa kwenye kikosi cha wakubwa cha england.
_mshambuliaji wa manchester united jesse amejumuishwa kwenye kikosi cha england kitakacho pambana na france siku ya jumanne.ikiwa ni mara yake ya kwanza kuitwa kwenye kikosi cha wakubwa cha england.
Chungu cha bibi JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 525 Reaction score 166 Nov 15, 2015 #2 Hahaha England bana...herrera kule spain hata hawamfikilii