Jewish Congress calls for Bernie Ecclestone to resign

Jewish Congress calls for Bernie Ecclestone to resign

Haki

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2009
Posts
356
Reaction score
17
NEW YORK (AP) - The World Jewish Congress is calling for Formula One boss Bernie Ecclestone to resign after he was quoted as saying that Adolf Hitler "got things done."


Formula One boss Bernie Ecclestone has the World Jewish Congress calling for his resignation. (Shaun Curry / Getty Images)
In the interview with London's The Times newspaper, Ecclestone also said democracy "hasn't done a lot of good for many countries - including this one."

In a statement Sunday, Ronald Lauder, president of the World Jewish Congress, says Ecclestone is not fit to serve as head of Formula One and calls on teams, drivers and host countries to suspend their cooperation with him.
 
I doubt he will resign.How influential are Jews within the Formula 1?
 
Bernie(bernard) Ecclestone...

Isn't he a jewish?
 
he is well known for such kind of comments...Ecclestone is not shy about using provocative language to get his point across. In 2008, he suggested that racist comments about British driver Lewis Hamilton were "started as a joke" - although he did say spectators who paint their face black were racist.
In June he said that Formula One needed a "black, Jewish woman who, if possible, wins some races."
 
This World Jewish Congress (WJC) in New York want the Jews to rule and direct the world's thinking, opinion & actions, just like they rule and direct the US thinking, opinion & actions.

Will the WJC demand the doctors cut off the life-supporting machine to Ariel Sharon a.k.a the Butcher of Sabra & Shatila refugee camps? & stop cooperating with the Israeli government and leaders (Olmert, Livni, Ehud Barak) for murders in Gaza?
 
This World Jewish Congress (WJC) in New York want the Jews to rule and direct the world's thinking, opinion & actions, just like they rule and direct the US thinking, opinion & actions.

Will the WJC demand the doctors cut off the life-supporting machine to Ariel Sharon a.k.a the Butcher of Sabra & Shatila refugee camps? & stop cooperating with the Israeli government and leaders (Olmert, Livni, Ehud Barak) for murders in Gaza?
Hivi Ariel Sharon bado yuko hai.....kama kweli basi "inaonyesha hatakiwi duniani na mbiguni" sijui hiyo itakuwa imekaaje...afadhali adhalilike maana aliua wengi huko palestina.
 
Shida siyo kuuwa wapalestina aliwasaliti wayaudi wenzake na mpango wake wa siri wa kulianzisha taifa la wapalestina, wayahudi hawasikitiki na hali ya afya yake
 
Kuna tetesi kwamba Ariel Sharon yupo vile alivyo leo kwa sababu alitoa baadhi ya sehemu za Israel kwa Palestine na watu wa Taifa hilo walikasirika sana kusikia hivyo na kumuombea kwa Mungu, Sijui kama ni za kweli au vipi. maana mpaka leo hii Ariel Sharon yupo hai na anapomua kwa machines tu
 
Watu kama hao mara nyingi kuchelewa kufa ili wapate adhabu hapa duniani, kwanza wana roho ngumu sana.
 
Hivi Ariel Sharon bado yuko hai.....kama kweli basi "inaonyesha hatakiwi duniani na mbiguni" sijui hiyo itakuwa imekaaje...afadhali adhalilike maana aliua wengi huko palestina.

Sharon alikuwa na mpango wa kuwapa Wapalestine sehemu kubwa ya ardhi yao. Lakini mayahudi (Zionists) wamempa sumu kwenye brain ili asiweze kufanya kazi au kuishi kabisa. Huu ni mfano mkubwa kwamba hawa jamaa wanauana wenyewe kwa wenyewe ili imradi agenda yao ifanye kazi. Wamemuua mwenzao Itzhak Rabin na wengineo. Biblia na Qur-an zinasema kwamba walijaribu kutaka kumuua Issa (Yesu) lakini mungu mkubwa hawakuweza. Hawa jamaa ni TWO FACES; very dangerous. Nenda YouTube kaangalie true ORTHODOX JEWISH point zao.
 
Shida siyo kuuwa wapalestina aliwasaliti wayaudi wenzake na mpango wake wa siri wa kulianzisha taifa la wapalestina, wayahudi hawasikitiki na hali ya afya yake
Palestina ndio taifa lilipo tangu zamani "israel imeanzishwa na waingereza na UN 1948 baada wwII" israel ni wavamizi wa eneo na taifa lilokuwepo tangu enzi za Mussa....history..
 
Palestina ndio taifa lilipo tangu zamani "israel imeanzishwa na waingereza na UN 1948 baada wwII" israel ni wavamizi wa eneo na taifa lilokuwepo tangu enzi za Mussa....history..

Mkuu uelewa wako wa Historia ni mkubwa au mdogo?
 
Sharon alikuwa na mpango wa kuwapa Wapalestine sehemu kubwa ya ardhi yao. Lakini mayahudi (Zionists) wamempa sumu kwenye brain ili asiweze kufanya kazi au kuishi kabisa. Huu ni mfano mkubwa kwamba hawa jamaa wanauana wenyewe kwa wenyewe ili imradi agenda yao ifanye kazi. Wamemuua mwenzao Itzhak Rabin na wengineo. Biblia na Qur-an zinasema kwamba walijaribu kutaka kumuua Issa (Yesu) lakini mungu mkubwa hawakuweza. Hawa jamaa ni TWO FACES; very dangerous. Nenda YouTube kaangalie true ORTHODOX JEWISH point zao.

Is this a comical session? Biblia gani hiyo uliyosoma inayosema Yesu hakuuawa na mayahudi?

Makubwa haya!
 
Kuna tetesi kwamba Ariel Sharon yupo vile alivyo leo kwa sababu alitoa baadhi ya sehemu za Israel kwa Palestine na watu wa Taifa hilo walikasirika sana kusikia hivyo na kumuombea kwa Mungu, Sijui kama ni za kweli au vipi. maana mpaka leo hii Ariel Sharon yupo hai na anapomua kwa machines tu

Taifa la Waisraeli lililaaniwa na Yesu pale walipomsulubisha. Aliwaambia wasimlilie yeye bali walilie nafsi zao na za watoto wao. Luka 23:27-29.
 
Mkuu uelewa wako wa Historia ni mkubwa au mdogo?
Are you talking about yourself? Israel kama tunavyoijua leo ilianzishwa baada ya vita vikuu vya pili ili kuwaweka Wayahudi waliokimbia kutoka Ulaya. Sehemu zingine zilizokusudiwa kuwaweka ni pamoja na Uganda. Tangu zamani sehemu yote ambayo sasa ni Israel na walipo Wapelistina ilijulikana kama Palestine, hapakuwa na nchi kama Israel. That is a fact.
 
Are you talking about yourself? Israel kama tunavyoijua leo ilianzishwa baada ya vita vikuu vya pili ili kuwaweka Wayahudi waliokimbia kutoka Ulaya. Sehemu zingine zilizokusudiwa kuwaweka ni pamoja na Uganda. Tangu zamani sehemu yote ambayo sasa ni Israel na walipo Wapelistina ilijulikana kama Palestine, hapakuwa na nchi kama Israel. That is a fact.

Kama mnazungumzia Modern Israel (state of Israel) sawa lakini swali langu Land of Israel (Eretz Israel) kabla hawajavamiwa na Assyrians, Babylonians, Persian, Greek, Romans ilioriginate kutoka wapi na walikuwa located wapi exactly?
 
Back
Top Bottom