Jezi gani ni nzuri na inavutia?

Jezi gani ni nzuri na inavutia?

Ambition plus

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2018
Posts
6,101
Reaction score
11,381
Habari za mida hii?

Mimi sio mshabiki wa timu yoyote na wala sijui kuhusu maswala ya soka.Nimewahi kuwa na rafiki wa ki Portugal. Aliniambia nimtajie wachezaji soka 5 wa nchi yake na kila nikitaja mmoja ni 20$.Sad sikupatia hata mmoja....niende kwenye mada..

Mi natamani kununua jezi ya kuvaa nikiwa home au mishe za mitaani bila kujali ushabiki. Jezi ya timu gani ni nzuri.Asante

Sent using Jamii Forums mobile app


NB:kama ukiniwekea ukaniwekea na picha ya jezi nitashukuru sana
 
ngoja nikutajie jezi tamu haswa zenye rangi 2..... Kuna Juventus white and black, kuna Watford yellow and black, kuna Newcastle white and black kama pundamilia...kuna Galatasaray na fayernood tamu Sana.... Pia jezi tamu zingine kuna Ajax away na home

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii itakufaa mkuu
IMG-20200110-WA0002.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chukua ya Kaizer Chiefs ya msimu huu imetulia sanaa nami nilinunuaga baada ya kuiona

KC_Digistore_Hollow_man_Front_750x750_HOME.png
 
Back
Top Bottom