bakundande jr
JF-Expert Member
- Oct 22, 2021
- 507
- 672
Juventus tayari wameqchia home kit. Umeionaje kwa upande wako?Habari za mda tena wadau na wapenzi wa kandanda humu jukwaani.
Ikiwa tunaelekea mwisho wa msimu wa kimashindano 2022/23 barani ulayq na kwingineko duniani. Timu mbalimbaili zimeanza maandalizi ya msimu ujao kwa kutangaza ratiba zao za pre_season zikiwa na malengo ya kuimarisha vikosi vyao ndani ya uwanja.
Ila nje ya uwanja katika mtazamo wa kibiashqra timu hizo zimeanza kutoa jezi zitakazotumika msimu ujao.
Usikae mbali na uzi huu kwa updates mbalimbali kuhusu jezi zitakazotumika msimu ujao
Ndio mkuu jana kacheza na katoa assit ya goli la ksawazisha dakika za majeruhiHivi pogba yupo
Jana kakiwasha sanaHivi pogba yupo
Huyu jamaa kawaida yake mkitaka kumuacha anakiwasha shida mkimuongezea mkatabaJana kakiwasha sana
Anajitahidi kuna game ya kwanza alivyotoka injury juve walipigwa 2-0 HT alivyoingia dakika ya 50+ ngoma iliisha 4-2 juve akashinda sema ndoivo team nayo ishajifia pale Jijini TurinHuyu jamaa kawaida yake mkitaka kumuacha anakiwasha shida mkimuongezea mkataba
Juve wakienda spain watapigwa kama ngoma youseff wa sevilla sio mtu yule[emoji91]Anajitahidi kuna game ya kwanza alivyotoka injury juve walipigwa 2-0 HT alivyoingia dakika ya 50+ ngoma iliisha 4-2 juve akashinda sema ndoivo team nayo ishajifia pale Jijini Turin
Ila juve sio mani yuuJuve wakienda spain watapigwa kama ngoma youseff wa sevilla sio mtu yule[emoji91]
Eti tz kuna jezi za psg ya mbappe?Ila juve sio mani yuu
Mbona zipo nyingi kiongoziEti tz kuna jezi za psg ya mbappe?
Zipo lakini sio nyingi kama za mikonk mifupiWakuu jezi za mikono mirefu zinapatikana siku hizi?