Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Hii Mo Foundation ipo?Wakuu leo katika kuangalia jezi mpya za Simba walizozindua leo kuna alama ya goli 5 walizofungwa na watani wao Wananchi, kwa taarifa tu ni kuwa goli hizo 5 ni mali ya Yanga na wamepanga kwenda kufungua kesi ya madai kwa nini Simba wajibandike magoli matano kwenye jezi wakati sio mali yao, wao goli lao ni moja tu.
NimemalizaView attachment 2822020
Huku kaomba kuifuta huku kwa makolo kaiacha kaona machizi hayaHii Mo Foundation ipo?
HahahahahaHuku kaomba kuifuta huku kwa makolo kaiacha kaona machizi haya
Ifike mahalawatu wasichukukie kawaida kitu chochote ....wazingatie alama na jumbe zilizopo katika Kila wantumiacho.Wanapapaswa waziwazi kwenye Jezi zao ππ€ͺ