Jezi mpya za Wananchi ipo inayomfaa Tundu Lissu, haina Kijani wala Njano

Jezi mpya za Wananchi ipo inayomfaa Tundu Lissu, haina Kijani wala Njano

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu alisema yeye ni Yanga Lia Lia lakini kamwe hawezi kuvaa Jezi za Wananchi kwa sababu ya rangi zake

Nadhani Sheria Ngowi amemsikia na kumletea Uzi maalumu wa Black and White

Nimemnunulia Jezi 7 kesho nitaziwasulisha pale HQ Mikocheni 😄
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu alisema yeye ni Yanga Lia Lia lakini kamwe hawezi kuvaa Jezi za Wananchi kwa sababu ya rangi zake

Nadhani Sheria Ngowi amemsikia na kumletea Uzi maalumu wa Black and White

Nimemnunulia Jezi 7 kesho nitaziwasulisha pale HQ Mikocheni 😄
Atazikataa, atasema havai batiki
 
Back
Top Bottom