Jezi Namba 6 imempata mhusika au kakutana nayo njiani?

Soloma TV Online

Senior Member
Joined
Jun 26, 2023
Posts
104
Reaction score
291
Timu ya Soka ya Yanga imemtambulisha Skudu saa 6 usiku na huyu ndiye aliyekabidhiwa Jezi namba 6.

Hongera kwao, lakini swali letu ndiye alilengwa kupewa jezi hiyo au baada ya mlengwa kushindikana ndiyo Skudu kakutana nayo njiani?
 
Kuchukua ubingwa wa ligi kuu 0,kuchukua ubingwa wa azam confederation nako 0,kucheza final ya shirikisho napo 0 .....kweli hawa ni watu wa 0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…