Jezi ya Yanga ni 'NZITO'

Mnao muulizia Mshana Jr hapa nyumbani kwake si mnapafahamu?
Njooni hapa nyumbani kwake yupo tele, alishasema hakimbii😃
 
Mnao muulizia Mshana Jr hapa nyumbani kwake si mnapafahamu?
Njooni hapa nyumbani kwake yupo tele, alishasema hakimbii[emoji2]
Walipaswa kwanza kunipa maua yangu kama viongozi wao walivyofanya baada ya kuupokea ushauri wangu na kuufanyia kazi
 
Hivi hii ilikuwa ni kwa msimu uliopita tu? Natamani kuanzisha timbwili hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…