ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Mbona umechelewa mno kufika? Nilikitarajia tangu jana mapema kabisa..[emoji23][emoji23] waganga banaView attachment 2626109
Umeshindwa kuisaida yako ukasaidie jiraniWalipaswa kwanza kunipa maua yangu kama viongozi wao walivyofanya baada ya kuupokea ushauri wangu na kuufanyia kazi
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi hii ilikuwa ni kwa msimu uliopita tu? Natamani kuanzisha timbwili hapa
Hatari sana,[emoji23][emoji23] waganga banaView attachment 2626109
Hahahahaha .kumbe huwa unaonaga eehDingi hua mara nyingi anaingia chaka sema kwa heshima aliyonayo hapa haandamwi kama wengine. Ila kiufupi ni mtaalamu sana wa kuandika upuuzi kwa maelezo ya kuvutia.