Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Huu unafiki siju utaisha lini.Wenyewe hao waarabu wanawaona wajinga tu badala ya kuisapoti Yanga ikapeperushe bendera ya nchi yako unamsapoti muarabu ambaye hakusaidii chochote!
Nyinyi TP Mazembe waliwaona mna akili?
Du! Uzalendo Tanzania ndo ulikufaga
Leo hukuvaa za coastal au ulisahau kama yanga anacheza na coastal!!!
Kwanza nilitaka kushangaa tangu lin Mngoni akawa mjanja!!!
uzalendo ni timu ya taifa tu wengine piga tuu