Hatuvurugani kamweeeee, bado tupo tupo sanaaaa!!!Kufikia saa tatu mshavurugana,tunza hii sms
GSM kvipi? Tutoleen uppuzi wenu, jezi zitakuja na tutanunua, league bado hata haijaanza.Amekosa suport ya GSM
Fei toto unamjua???Unajua huwa anafukuzisha watu kazi?Hatuvurugani kamweeeee, bado tupo tupo sanaaaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fei to to atambishwa nyasi na mwamba wa Lusaka, umesahau???Fei toto unamjua???Unajua huwa anafukuzisha watu kazi?
Umesahau mashuti yake ee?Subiri leo akukumbushe dadekiiiFei to to atambishwa nyasi na mwamba wa Lusaka, umesahau???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha mnooo, ilikua bahati tyuuh.Umesahau mashuti yake ee?Subiri leo akukumbushe dadekiii
Bahati?????Unajua unachosema kweli?🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha mnooo, ilikua bahati tyuuh.
Bahati tyuuu, afu sasa mnampa sifa yeye kila mda ni kufumua shuti, sio taifa, wala club,. Ndo maan hata na vipers aliwaangusha, tatizo amelewa sifa, anadhan kila siku ni j2 lolBahati?????Unajua unachosema kweli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vaa hata jezi ya Man U au Arsenal , zinatosha mkuuHabar Wana jamvi,
Niende kwenye mada moja kwa moja wiki iliyopita jezi za Simba zilizinduliwa ila baadhi ya watu tulikosa Na walisema baada ya siku mbili Sasa jamani nauliza VP zimekuja Tena kwa awamu nyingine ili nikachukue kabla ya jumamos
Leo ni Jumapili ukiangalia saa shauri yakoBahati tyuuu, afu sasa mnampa sifa yeye kila mda ni kufumua shuti, sio taifa, wala club,. Ndo maan hata na vipers aliwaangusha, tatizo amelewa sifa, anadhan kila siku ni j2 lol
Yaaan khaaaah, sijui huu mwaka imekuaje, lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mafuta yamepanda bei [emoji23]
Habari yako ndugu yangu🤣🤣🤣🤣Fei to to atambishwa nyasi na mwamba wa Lusaka, umesahau???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipoooooh, kwan fei toto kacheza nn leo??? Km hakuwepo vile.Habari yako ndugu yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilikwambia utapasuka ukachukulia poa ona sasa umeshindwa kula🤣🤣Nipoooooh, kwan fei toto kacheza nn leo??? Km hakuwepo vile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]