Kama kuna mtu ambaye amedizaini jezi za taifa stars basi mtu huyu ni bomu hajui dizainingi. Jezi za stars ziko hivi:
1. Fulana za buluu zina mistari miwili mieusi mabegani iliyoanzia karibu na kola kuishia mikononi
2. Kuna nembo ya TFF kifuani (ndogo) mkono wa kushoto ina rangi nyeupe
3. Kuna nembo ya bendera ya taifa (ndogo) kifuani mkono wa kulia
4. Fulana ina michirizi ya kijani kila upande wa ubavu
5. Chupi /bukta nyeusi zenye mchirizi wa njano karibu na pindo la chini
6. Soksi rangi ya daki-buluu na upapi mweupe juu kidogo ya enka
7. Golikipa fulana ya dhambarau
Hivi kwa nini wasichague rangi moja au mbili tu. Napendekeza rangi ya buluu, maana ndiyo alama ya muungano (bahari). Hii mpangilio wa rangi kwenye jezi unanikera sana. Afrika ya Kusini walianza na ujinga huo huo baada ya ubaguzi lakini leo wamebakia na rangi mbili tu. Kama kuna mtu aliye karibu na TFF naomba anifikishie ujumbe wangu.
1. Fulana za buluu zina mistari miwili mieusi mabegani iliyoanzia karibu na kola kuishia mikononi
2. Kuna nembo ya TFF kifuani (ndogo) mkono wa kushoto ina rangi nyeupe
3. Kuna nembo ya bendera ya taifa (ndogo) kifuani mkono wa kulia
4. Fulana ina michirizi ya kijani kila upande wa ubavu
5. Chupi /bukta nyeusi zenye mchirizi wa njano karibu na pindo la chini
6. Soksi rangi ya daki-buluu na upapi mweupe juu kidogo ya enka
7. Golikipa fulana ya dhambarau
Hivi kwa nini wasichague rangi moja au mbili tu. Napendekeza rangi ya buluu, maana ndiyo alama ya muungano (bahari). Hii mpangilio wa rangi kwenye jezi unanikera sana. Afrika ya Kusini walianza na ujinga huo huo baada ya ubaguzi lakini leo wamebakia na rangi mbili tu. Kama kuna mtu aliye karibu na TFF naomba anifikishie ujumbe wangu.