Bendera ya Taifa ina Rangi Nyekundu?
Mleta mikosi wa TaifaMakonda ni kama nani hapo
Zile jezi za mchina siyo official.Kwani zile zenye msalaba ziliishia vp
Ahsante kwa ufafanuziZile jezi za mchina siyo official.
Napendekeza basi waweke na baraza la mawaziri lote.Napendekeza jezi ya taifa ingewekwa nembo ya picha ya rais wa Nchi kama ishara ya kutambua juhudi za kiongozi wa awamu ya tano