Mnaoteseka nyie Kilomoni fc, kisa rangi yenu haipo national team
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Napendekeza jezi ya taifa ingewekwa nembo ya picha ya rais wa Nchi kama ishara ya kutambua juhudi za kiongozi wa awamu ya tano
Ukijibiwa Nitag MkuuKwa hiyo yanga tunaweza zitumia kwenye shughuli zetu za uwanjani mkuu!!?[emoji847]
Kilomoni fc a.k.a MikiaHayawahusu haya, kapambaneni na hali zenu. Mambo ya msimbazi wayatatue waachie wanamsimbazi wenyewe.
Tukishaanza hizo bifu basi tegemea tutasonga zaidi ya hapo. Bado bifu la Ufupi na Urefu,Mbegu ya utengano iliyopandwa katika Taifa inaota kwa kasi sana.
Kama si Yanga na Simba basi CCM na Chadema. Kama si Ukristo na Uisilamu basi Uzanzibari na Utanganyika. Kama si Uchaga na usukuma basi ni mwanaume wa Dar na wa Mkoani.
Wakuu tusipoangalia kuna bomu kubwa sana linatunyemelea.
Hii ni kitu kidogo sana mkuu, hukupaswa hata kupeleka mawazo yako kwenye uYanga na uSimba.
Shida sana mkuu. Watu wanachukulia mchezo mchezo hawajui nini kinakuja mbele yaaniTukishaanza hizo bifu basi tegemea tutasonga zaidi ya hapo. Bado bifu la Ufupi na Urefu,
Watu weupe vs Weusi,
Wanene vs Wembamba,
Masikini Vs Matajiri,
Waliosoma vs Wasiosoma,
etc
HahahahahahahaNapendekeza basi waweke na baraza la mawaziri lote.
Utakuwa mkenya wewe...na tunasema " upumbavu ni sawa na kipaji cha ufupi ama urefu".Sijawahi kupenda rangi ya blue katika jezi zetu za taifa. Kwanza mimi ni mnazi ya Simba (Mimi ni Kilomoni Jr.) ila ahuweni tutumie rangi hizi mbili (kijani na njano) au kama tunatumia blue basi iwe kwenye soksi ama bukta na iwe blue ya kukoza kama ile ya Brazil.
Fulana zikiwa kijani zitaleta muonekano mzuri sana na iwe kijani ya kukoza sana na bukta ndizo ziwe za blue.
Mwisho: kwa aina ya wachezaji wetu hata ukiwapa jezi za dhahabu ni sawa na kipini cha dhahabu juu ya pua ya nguruwe.
Wapeni tu hayo hayo majezi mabaya yanayoendana na uchezaji wao wa hovyo...
Tatizo lako mtu mpumbavu kama wewe huwa huoni madhaifu ya kitu.Utakuwa mkenya wewe...na tunasema " upumbavu ni sawa na kipaji cha ufupi ama urefu".
Hebu nipatie na mimi jezi ya Yanga nataka niitundike nyumbani ili siku nikitaka kugombana na mtu naingalia kwanza jezi ya Yanga ili inipandishe hasiraπππKa mie sinaga uvivu Mtani na ndio sababu nina jezi nyingi za Yanga kwa rangi tofauti.
Hahahaaa. Nakuletea baadae japo nawaza tu isije kuwa kinyume chake kwamba ukiiangalia hiyo jezi unajikuta hautamani hata kumkasirisha. ππππHebu nipatie na mimi jezi ya Yanga nataka niitundike nyumbani ili siku nikitaka kugombana na mtu naingalia kwanza jezi ya Yanga ili inipandishe hasiraπππ
Bendera ya taifa pia imeangalia maslahi ya timu ya YangaNimeona jezi mpya za timu ya Taifa zimetambulishwa Leo.
Haiwezekani jezi zote hazina rangi nyekundu,lazima wote tuletwe pa1 kupitia rangi za timu ya taifa.
Kubali kataa Tz kama sio simba/yanga.View attachment 1125390View attachment 1125392
Aaah wapi bana unajua hizo rangi yaani njano na kijani ni rangi za stress πππHahahaaa. Nakuletea baadae japo nawaza tu isije kuwa kinyume chake kwamba ukiiangalia hiyo jezi unajikuta hautamani hata kumkasirisha. ππππ