Tetesi: JEZI ZENYE UTATA ZINASHUSHWA GODOWN MUDA HUU

davisoni

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2014
Posts
410
Reaction score
435
Habari zenu,Nimepata taarifa toka kwa jamaa,asema Kuna jezi mpya za wanna njano zinashushwa godown muda huu chang'ombe opposite na ICD ya Azam karibu na Sokota,ushushaji bado unaendeleaje,inavyosemekama wenye mzigo wameprit ili zipelekwe kariakoo.
Je hii ni sahihi kwa uchumi wa nchi?,
Hivi vitu Kama hivi vinapitaje bandalini huku vikiwa na utata?
Godown linatazamana na geti la Azam(chang'ombe), love na geti la bruu.
 
mkuu, waoneeni huruma hao rumumba fc (kum radhi Yanga).
 
Vyombo husika viwakamate Mara moja, huo ni uhujumu uchumi wa club na nchi pia. Baadae tupe mrejesho nini kimeendelea tafadhali
 
Una uhakika gani kuwa sio za halali!?
 
Sio poa kabisa watu wanatafta lizik we unaleta umbea watu kama nyie mtakuja kufa kam mbwa
 
Mbozi road hapo napajua
 
Sio poa kabisa watu wanatafta lizik we unaleta umbea watu kama nyie mtakuja kufa kam mbwa
Bila shaka na wewe utakuwa mwizi maana haiwezekani watu wanafanya uhalifu halafu wewe unawatetea.
 
mbozi road hapo godown la silent ocean.... hilo godown ni la wadhamini wa yanga ambao ni gsm..

gsm ameingiza jezi za yanga ila tunamuona mwizi... yeye ndie aliepewa tenda..
 
Usije kuwa wanashusha sare za chama kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi..................!
 
Daaaah mkuu umewachoma nmepita naona polisi washatanda eneo hilo.Wabongo bana.
 
mbozi road hapo godown la silent ocean.... hilo godown ni la wadhamini wa yanga ambao ni gsm..

gsm ameingiza jezi za yanga ila tunamuona mwizi... yeye ndie aliepewa tenda..
Najua mkuu umechokoza ili nitililike,ok.ngoja nikuridhishe,Sio hapo silence ocean,mmiliki wa godown ni Arif na Wala hakuna shughuli za gsm,pia mzigo umeingia kwa kupitia kampuni ya Tosh(taarifa toka kwa jamaa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…