Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
- Thread starter
-
- #41
Wewe unafanya nini humu sasaTafuta kazi itakayokushughulisha wewe,acha kushinda JF kutwa ukifungua thd za kijinga jinga,
Hao wanao ndio utakuja kujisifia kwao kua ulikua na likes nyingi na thd nyingi jf? Hizi likes ndio unawaandalia urithi wanao?
Miaka inasonga mbele na haitorudia nyuma kamwe,jitafakari kisha chukua hatua kabla ya kuharibikiwa zaidi.
Anayekua anapita humu sio sawa na anayeshinda humu,najua dawa imekuingia,huenda ukapata nafuu soon.Wewe unafanya nini humu sasa
Nisubiri tupite wotehahaha napita tu
Usitulee upuuzi Fesibuku.Kwa Members active wa JF wote.
Inabidi huu ukweli muutambue ili tusije tupiana lawama hapo baadaye.
Ukiwa na likes chache kuliko idadi ya post ulizoisha post JF utambue kabisa unatumia muda mwingi kupost vitu visivyokuwa na maana kuliko vile vya msingi.
Sasa mbadilike. Jitahidini kuwa na Likes nyingi kuliko Idadi ya Posts.
Mtapiga kelele wenye mipost ya ovyo ovyo ila ukweli ndyo uo. Mwe natoa post zenye maana. Mnawapa kazi sana Moderators.
Makapuku hao bila shakaLikes. Kuna vikundi humu vya upatu vya kuchangiana likes. Mjini mipango 🙂😉