JF business ideas competition

We ndo mtu w kwanza kuleta point
 
NimeShajisubcribe shindano liendelee
 
Nadhani ungeweka Email ili MTU MWENYE project yake lakini hana Mtaji akufowadie, then Unashindanisha...
Nawaza tuu
Mkuu hili shindano la wazi kama yalivyo m/wazi, just kama lile la 3N.
 
Mimi wazo langu ni kuanzisha kampuni inayotoa Bima ya Mapenzi na Ndoa. Hii ni kutokana na utafiti wangu ulionionesha kuwa eneo hili lina wadau wengi hivyo nitakuwa na uhakika wa wateja hasa ukizingatia kuwa nitakuwa wa kwanza kuwekeza kwenye biashara hii.

Ni matumaini yangu kuwa wazo langu litafanya vizuri kwenye shindano.
 
Wazo zuri, utakapokuwa tayari tutafanya sponsorship ya event.

Ni pm kwa maelezo zaidi.
 
Kweli wabongo hawapendi kazi ingekuw stor y ngono au ya domond ingekuw n imegika 1k saizi.namna lazma tuwatoe watu majumbani wakapige kazi
 
Hii niidea nzuri sana. Nasema ni nzuri kwa sababu inatoa mwanya wa watu kuona THAMANI ya ideas zao na siyo kuishia kuwa na ideas vichwani mwao.
Lakini itakuwa ni idea nzuri zaidi kama mleta mada ana nia njema ikiwa ni pamoja na kutimiza kile alichoandika hapa. Lakini kama itakuwa ni kwa ajili ya mleta mada kupata mtaji kama wengine wetu walivyowaza basi tuwe makini.
Cha msingo kama mleta mada yuko serious na hili jambo transparency itawale ikiwa ni pamoja na moderators ku comment chochote kwani kasema kapitia kwa moderators. Kusiwe na aina yoyote ya hidden agenda hasa kwa kitu kama hichi.
Lets be serious.
 
Kweli wabongo hawapendi kazi ingekuw stor y ngono au ya domond ingekuw n imegika 1k saizi.namna lazma tuwatoe watu majumbani wakapige kazi

Mkuu Kwa sababu za kukosa uaminifu Watu wengi wanaogopa kufanya biashara Na mtu wasio mjua.Tunasahau kwamba huwezi kupata pesa mpaka utoe pesa.Huwezi kuvuna mpaka upande.Hao wapendao story za ngono Na "domond"watakuja kuwa wateja wako usiwastue utalala wewe.
 
Kweli mkuu! Lakini naona ma mod wamekaa kmya, wengi wetu hatutaki kusapti vtu kama hv et kwa 7bu hatuna majina makubwa, hii mbaya sana. Angekuwa @regmengi wangekbl fasta hata angesema kiingl elfu 50. Wamesahau sasa suala la pesa limekuwa ni dhamana nyepesi sana ndyo maana unanua gari ulaya huku umekaa home na unatumiwa hadi bongo.
 
Mimi kila wazo nkatalo lotowa humu ni lazima mtu akitumia na kuifata atapiga hela?
Mimi nataka niuzeee idea ya biashara.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…