JF bwana, unaweza kuta mnayebishana nae nyuzini mpo seat moja safarini kwenye basi

JF bwana, unaweza kuta mnayebishana nae nyuzini mpo seat moja safarini kwenye basi

Iliwahi nitokea hii, hatukua tunabishana tulikua kwenye thread moja tunasoma story inaitwa Peniela. Alikua ni mdada akielekea kwenye semina fulani siwezi itaja hapa.

Kufupisha story aliliwa kimasihara 🤣.

NB. Hatumii jf kwa sasa
 
Iliwahi nitokea hii, hatukua tunabishana tulikua kwenye thread moja tunasoma story inaitwa Peniela. Alikua ni mdada akielekea kwenye semina fulani siwezi itaja hapa.

Kufupisha story aliliwa kimasihara 🤣.

NB. Hatumii jf kwa sasa
Hahahahahah

Usimtaje mkuu maana vijana wa humu wanaweza kumuanzishia special thread
 
Jinsi matajiri wa JF tunavyosoma huu uzi
1000011204.jpg
 
Back
Top Bottom