Unafeli wapPambana na hali yako! Pm yake ipo wazi nenda!
Mimi mwenyewe kuna kijana namzimikia napambana na hali yangu..!
Nasikia raha ninavyopambana na hali yangu😂Unafeli wap
Hahahaha kama ni hivyo apo sawa.Nasikia raha ninavyopambana na hali yangu😂
Form 5 mkubwa kabisa! Huyo ananifaa kwa matumizi na mimba nambebea ili nikukomeshe huo mdomoJr ndiyo kwanza yupo form five, akupeleke wapi libibi kama wewe?
Njooni.Form 5 mkubwa kabisa! Huyo ananifaa kwa matumizi na mimba nambebea ili nikukomeshe huo mdomo
Nimekwambia mimi sina hela naomba unifanyie surgery ya kitambi umekataa halafu bado unanisakama na kitambi changu🙄Njooni.
Mguu wa kuku imepata kutu. Njooni niwafundishe adabu. Nafumua hilo tambi na moto.
Wifi yako alisema atasponsor.Nimekwambia mimi sina hela naomba unifanyie surgery ya kitambi umekataa halafu bado unanisakama na kitambi changu🙄
Zile mbwembwe tu! Hii ni ishu ya mimi na wewe☺️ usinikazie unajua mimi na wewe jinsi tunapendana♥️Wifi yako alisema atasponsor.
Malizana naye.
Mimi nilisema nitakufanya usikie raha..Zile mbwembwe tu! Hii ni ishu ya mimi na wewe☺️ usinikazie unajua mimi na wewe jinsi tunapendana♥️
Nakuaminia☺️Mimi nilisema nitakufanya usikie raha..
Hayo ya kitambi haikuwepo.
Nitakupa raha. Utamu.Nakuaminia☺️
Ebu toka! Uone aibu na uzee huo😂Utamu.
assignment siomshamba_mwingine nina changamoto
Hapana! Nishatoka hukoassignment sio
Site Gani nikakopi nikupeHapana! Nishatoka huko
Kuna kitu nataka kugoogle lakini nikicopy maandishi yanatoka yameunganika nifanyaje nicopy yakiwa hayajaunganika
Haipo kwenye site, ni doc ninayoSite Gani nikakopi nikupe
doc ipo kwenye format gani? .pdf, .pptx au nini?Hapana! Nishatoka huko
Kuna kitu nataka kugoogle lakini nikicopy maandishi yanatoka yameunganika nifanyaje nicopy yakiwa hayajaunganika
Naunga mkono hojadoc ipo kwenye format gani? .pdf, .pptx au nini?
ngoja kwanza, ukicopy sentensi nyingi au aya nzima ukaenda kupaste google haitokei kama ayaHaipo kwenye site, ni doc ninayo