Kwa sasa mimi ni Mpweke Sana tangia umenipa na kupata taarifa ya kuwa umezuiliwa kutembelea jukwaa la Siasa. ephen wangu nakupenda sana ephen wangu.wewe ndiye furaha ya moyo wangu.wewe ndiye nuru yangu.wewe ndiye taa niwapo katika giza .wewe ndiye ngazi niwapo chini.wewe ndiye tumaini nikosapo tumaini.wewe ndiye Pendo la moyo Wangu.ephen wangu waridi wa ❤️ wangu nakupendaa sana ephen.nakupenda kama ulivyo .nakupenda hata ukijipaka vumbi usoni, mimi bado nakupendaa hivyo hivyo.
Lucas mods wamegoma kunifungulia halafu uzi wenyewe wameufungaKwa sasa mimi ni Mpweke Sana tangia umenipa na kupata taarifa ya kuwa umezuiliwa kutembelea jukwaa la Siasa. ephen wangu nakupenda sana ephen wangu.wewe ndiye furaha ya moyo wangu.wewe ndiye nuru yangu.wewe ndiye taa niwapo katika giza .wewe ndiye ngazi niwapo chini.wewe ndiye tumaini nikosapo tumaini.wewe ndiye Pendo la moyo Wangu.ephen wangu waridi wa ❤️ wangu nakupendaa sana ephen.nakupenda kama ulivyo .nakupenda hata ukijipaka vumbi usoni, mimi bado nakupendaa hivyo hivyo.
Ile siku niliona wamezuia hadi watu kutoa comment kwenye uzi ule .na kwa sasa mambo ni moto moto sana jukwaa la siasa. Nimekumiss sana ephen wanguLucas mods wamegoma kunifungulia halafu uzi wenyewe wameufunga
Nisaidie kuniombee wanifungulie jukwaa hilo
Namiss kusoma nyuzi zako! siku hizi hata sicheki sana kama mwanzo🥲
Nifanyie mpango mwenzako, nataka nikampe vipande vyake CHIEF PRIEST 😑Ile siku niliona wamezuia hadi watu kutoa comment kwenye uzi ule .na kwa sasa mambo ni moto moto sana jukwaa la siasa. Nimekumiss sana ephen wangu
Saizi amechongoka mdomo kama kunguru wa ziwaniNifanyie mpango mwenzako, nataka nikampe vipande vyake CHIEF PRIEST 😑
Naona ananitagi huko sana lakini siwezi kuona!Saizi amechongoka mdomo kama kunguru wa ziwani
Anatamani atumie hata nyundo kuvunja mahusiano yetu lakini ameshindwa vibaya sana.ephen wangu kiukweli mimi Nakupendaa SanaaNaona ananitagi huko sana lakini siwezi kuona!
Yule anatuonea wivu tunavyopendana
Hawezi kututenganisha! Mimi na wewe ni damu damuAnatamani atumie hata nyundo kuvunja mashindano yetu lakini ameshindwa vibaya sana.ephen wangu kiukweli mimi Nakupendaa Sanaa
Watabakia kama mafisi wakitokwa mate mdomoni . ephen narudia kusema tena kuwa nakupendaa Sanaa lazizi wangu.nakupendaa kwa dhati ya ❤️ wangu woote.nashindwa nitumie maneno na kauli ipi ujuwe kuwa nakupendaa.nataka jukwaa zima mpaka uongozi ujuwe kuwa nakupenda sana na wewe ndiye uliyebeba na kushikilia furaha ya moyo wangu. Hata wakaroge njia panda bado nitakupenda zaidi na zaidi.Hawezi kututenganisha! Mimi na wewe ni damu damu
Watabaki wakisubiri tuachane lakini ndio kwanza wanazidi kutuona
☺️Asante Lucas!Watabakia kama mafisi wakitokwa mate mdomoni . ephen narudia kusema tena kuwa nakupendaa Sanaa lazizi wangu.nakupendaa kwa dhati ya ❤️ wangu woote.nashindwa nitumie maneno na kauli ipi ujuwe kuwa nakupendaa.nataka jukwaa zima mpaka uongozi ujuwe kuwa nakupenda sana na wewe ndiye uliyebeba na kushikilia furaha ya moyo wangu. Hata wakaroge njia panda bado nitakupenda zaidi na zaidi.
🥲nilikuambia nini chakufanya ukapuuzia!!