Mhmmmm kaongo kumbe🤔Kula msosi😉
Sehemu moja tu ndiyo huwa nasema ukweli☺️Mhmmmm kaongo kumbe🤔
D mbili 😁Sehemu moja tu ndiyo huwa nasema ukweli☺️
Yeah! Mimi na Wewe tunazo D mbili😂D mbili 😁
😁😁 kidogo ile homa imepunguaYeah! Mimi na Wewe tunazo D mbili😂
Hata mimi☺️😁😁 kidogo ile homa imepungua
Sio ya kuzaliwa lakini...Leo ni birthday yangu ushirikiano wenu 🤝
Ya kujiunga jf?Sio ya kuzaliwa lakini...
Unaparamia tu sufuria kusaka viporo😆😆😆😆Hata mimi☺️
Sasa usiku nikasema nile matunda tu! Hapa nazunguka tu kwenye friji njaa inauma kishenzii🥲
Ndio, naweka thread hapa naandika, nasubiri mudaYa kujiunga jf?
Hamna kitu! Ninywe maji nilaleUnaparamia tu sufuria kusaka viporo😆😆😆😆
Hb mkali ishi miaka mingi zaidi.Leo ni birthday yangu ushirikiano wenu 🤝
Nasubiri nikomenti bora umeniwahi nilitaka nilaleNdio, naweka thread hapa naandika, nasubiri muda
Hahaha na bado kilo 3 ufike 100🙄🙄Hamna kitu! Ninywe maji nilale
Sio 3! Ni 7 nifike 100🥲Hahaha na bado kilo 3 ufike 100🙄🙄
enzo akeee ulikua wapi leo? Sijakuona muda wa mechi
View: https://youtu.be/JlX0KTAI8cU?si=5uKgkrdlj5_CTwMP
Tupate burudani kidogo kutoka sao tome Cc ephen_
Na tumepanga mwisho wa mwaka ujinyakulie taji la miss jf🙄🙄Sio 3! Ni 7 nifike 100🥲
Kha! Hilo taji aendelee kupewa bibi yetu Faiza😂Na tumepanga mwisho wa mwaka ujinyakulie taji la miss jf🙄🙄