JF Chat: All members chat

M'bishi kama mshipa
sijawahi kusoma private sasa ubishi ama uhakika..?
darasa la saba anaweza kutengeneza pesa kushinda mtu aliesomea uchumi issue ni hulka pia!,kuna watu wanasoma lakini hawana uwezo wa kuishi walichokisoma!. utajiri una awamu zake kuna awamu lazima ujue kujibana sa mtu hana hulka ya kujibana unafikiri atatoboa!
 
Sawa motivational speaker
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…