JF Chat: All members chat

Hujapata company tu mi mwenyewe hiyo ndo season ya kwanza kuimaliza sijawahi kumaliza season zaidi ya hiyo!.. jiulize kwanini nimalize..?
Itakuwa nzuri bila shaka
Sema huwa napenda nijue jinsi movie ilivyo hapo nitagoogle sasa hiyo ya season zote hizo itaniboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…