Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Piga lile pigo la ubatizo 😀Daah! Kwahiyo umeona mimi wa kuvaa kizee🤔
Mimi je?Nitakula nauli za watu woootee ila sio ya Vincenzo Jr hachelewi kufungua uzi
Napiga kigauni cha mama ntentemeshePiga lile pigo la ubatizo 😀
Uno jepesi kama la anitta
Wewe nauli yako siwezi kula☺️ nakuja hata kwa nauli yangu kudadeq😉Mimi je?
Bila nyeto unafikiri ningekua hata na kakibanda changu😁😂Wewe sema tu ni mpiga nyeto
Kufuli ulitupe kabisa 😀Napiga kigauni cha mama ntentemeshe
🙌😂Kumbe wewe ni mchagaa bahili hutaki kuhonga mchoyo mkubwa🙌Bila nyeto unafikiri ningekua hata na kakibanda changu😁
Wewe unadhani kwanini imeitwa mama ntentemeshe? Ile hutakiwi kuvaa cha ndani ili ukitembea iwe 50 100 50 100Kufuli ulitupe kabisa 😀
Nitakudondoshea hela kwa mbele ili uikote, mambo mengine yaendelee 😀Wewe unadhani kwanini imeitwa mama ntentemeshe? Ile hutakiwi kuvaa cha ndani ili ukitembea iwe 50 100 50 100
We kumbe unajua! Ukinimwagia hela ni rahisi siku nyingine mimi kurudiNitakudondoshea hela kwa mbele ili uikote, mambo mengine yaendelee 😀
Maisha ya ubachela sio mazuriNyie mnawezaje? Nimesema usiku nile parachichi na ndizi 3, sasa hivi njaa inaniuma siwezi kupata usingizi nataka nikaange chipsi🥹
KwaniniMaisha ya ubachela sio mazuri
Kuhonga ndio nini kwa nini nihongo na kipi cha kuhongo😁🙌😂Kumbe wewe ni mchagaa bahili hutaki kuhonga mchoyo mkubwa🙌
😉Wewe huwezi hata kuninunulia pipi kweli?Kuhonga ndio nini kwa nini nihongo na kipi cha kuhongo😁
Nyie mnawezaje? Nimesema usiku nile parachichi na ndizi 3, sasa hivi njaa inaniuma siwezi kupata usingizi nataka nikaange chipsi🥹
Naweza kufuli tu😊😉Wewe huwezi hata kuninunulia pipi kweli?
Utapikaje mwenyewe na ule mwenyewe? hii ndio sababu inawafanya watu wengi walale kwa njaa, kushindia matunda, kiyai n.kKwanini
Ulisema usiku unapika chips yai umepika kweli☺️ ndio maana tuna vitambiView attachment 3064136
Njoo ule basi