Sina funguosasa njoo ndani ya box tubonge
Sawa. Ngoja mimi nije funguaSina funguo
Aliquote kimakosa (?) akajisahau huku , ππNimeshangaa na hv ni post nyingine tofautiπ€£π€£π€£π€£π€£
ππβΊοΈ Nyimbo kalii
Enjoy ππππβΊοΈ Nyimbo kalii
Oyaa jana ulikuwa siriazi π ππ nilikuwa na joke tu mama sorry and thanks in advance ππ Cc ephen_Aliquote kimakosa (?) akajisahau huku , ππ
Polee sababu ?Hii nyimbo inaniudhi!π₯Ή Nikimuona masogange min -me anaelewa
Ana mwanae kafanana nae huyo nipo nae jirani hapaNa toto lilikua la moto mnoπ
Dah nilikua namwelewa kinyama aseeeAna mwanae kafanana nae huyo nipo nae jirani hapa
Njoo kitaani umuone mwanae aisee wamefana mule muleDah nilikua namwelewa kinyama aseee
Katakua kadogo sanaππNjoo kitaani umuone mwanae aisee wamefana mule mule
Sio mdogo ana miaka 19Katakua kadogo sanaππ
Kakulia na chumvi kumbeπππSio mdogo ana miaka 19
Anakaa na baba yakeKakulia na chumvi kumbeπππ
Weee usimponze mwenzioo akajafatwa na masela wa5π€£π€£π€£π€£Sio mdogo ana miaka 19
ππππWeee usimponze mwenzioo akajafatwa na masela wa5π€£π€£π€£π€£