Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
No mbona kanikoti kule embu kaangalieWewe! Mbona ni ghafla hivi mwenzako hata hakuonesha dalili ya ugomvi na wewe si juzi tulikua tunacheka wote?
Unanipa wasiwasi jinsi unavyoenenda kama hii ndio tabia yako ukigombana na watu usinitag mimi au min -me
Wewe ndiye ulianza tokea asubuhi nilikuambiaNo mbona kanikoti kule embu kaangalie
marahaba, haujambo mchuchu?Wajaaaa mpoooo??
ππππππ
No uliza chanzo kwanzaWewe ndiye ulianza tokea asubuhi nilikuambia
Jirekebishe
HayanihusuNo uliza chanzo kwanza
Kwa Nini πππ€£Hayanihusu
Mfate pm mkamalizane ndio busaraKwa Nini πππ€£
Usiogope kuwa mpole πππππππ wewe upo kwenye saiko yangu huna bayaMimi sitaki kujua shida zenu
Kwajinsi alivyo mstaarabu ungemfata pm mngeyamaliza tu
Kwanini nimekwambia? Sababu unanipa hofu na huko kunitag ndio kabisaa
NitoeUsiogope kuwa mpole πππππππ wewe upo kwenye saiko yangu huna baya
Usiniogope Mimi sina bayaMfate pm mkamalizane ndio busara
Unafanya nikuogope kama ukoma
Hapana ππ€£πππNitoe
Ndio maana nimeacha nenda kaangalie mie naongelea mpira tu kule embu cheki pliziUsiongee tena chochote mfate pm
Baadae ngoja niende nje hapa kubeba chuma cha kilo 5 πππIla weweππ