Ndio ka nini hako tena
Sawa kumbe?Kabia fulani hv ka kike kana ladha ya utamu wa soda wakwetu
Limekuja kujificha humu najua lipo inbox kwa mod linaliaMkiwa mnahama kituo mtushtue nyie watu 🤣🤣🤣🤣
1995lu mkuu kikao kipo huku
Rafiki huniiti km tajiriiii yupo huku 🤣🤣🤣Tunaanza meditation lini rafiki 😊
Sa tajiriiiiii unaliaje bana? Unashusha brand ujue emu futa machozi kwa dollar og kwanza 🤣🤣🤣🤣Sijawahi kusambaza picha ya mtu yeyote 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭sijapenda mmenifanya nimelia
Nini inajilamba mkuu nacheka sijui nacheka niniimeanza kujilamba yenyewe kwa yenyewe sasa...🤣
Huyu leo tunaye mpk aseme yote 😂😂😂Limekuja kujificha humu najua lipo inbox kwa mod linalia
Wakili natoa malamiko yangu kwako vijana wamenisingizia hapa nimejisikia vibaya mnoRafiki huniiti km tajiriiii yupo huku 🤣🤣🤣
Meditation mpk tajiriiiiii atoe PC aliyoahidi mi ndio wakili ninayesimamia kesi ya mtuhumiwa
Mhm japo sijakuelewa , ila kuna madam nitakutumia namba yake kesho, yupo vizuri mno haulipi hata mia .Rafiki huniiti km tajiriiii yupo huku 🤣🤣🤣
Meditation mpk tajiriiiiii atoe PC aliyoahidi mi ndio wakili ninayesimamia kesi ya mtuhumiwa
Wanatuchanganya sana 🤣🤣😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kwelii.
Mbona sijampiga kijembe nilisemea PC afu sijapenda mmenipa tuhuma nzito enewei ngoja nitoe malalamiko kwa wakili wanguVincenzo Jr muombe msamaha toyeye kwa vijembe ulivyompiga leo😂
Kweli hajui huyu ni dada ake, nmeumia sana kusoma hayoVincenzo Jr muombe msamaha toyeye kwa vijembe ulivyompiga leo😂