JF Chat: All members chat

Nyieeee mie sitakiiiiii, nayoyaonaaa leoooo, akhiiiiiiiii full burudaniiii
Na simba imeshindaaa, mbna ntazidiwaa kwa rahaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja sisi tuanze kucheza nafasi yako ya 3 inakusubiria 🀣😁😁😁😁
 
Nimejisiki vibaya nimelia sana Mimi [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] eti wanasema nimevujisha picha zake
Sasa thibitishaa km hujavujishaa kweliiii?? Fanyaaa kuweka mambo sawaaaa!!
Vinginevyooo huaminikii tenaaa hapaaa, JF waijua au waisikiaaa?

Oooooooh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa thibitishaa km hujavujishaa kweliiii?? Fanyaaa kuweka mambo sawaaaa!!
Vinginevyooo huaminikii tenaaa hapaaa, JF waijua au waisikiaaa?

Oooooooh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeshaweka Kila kitu sawa 😎😎 sina noma na mtu ni changamsha genge tu sijavujisha picha jamani 😭
 
Ngoja sisi tuanze kucheza nafasi yako ya 3 inakusubiria 🀣😁😁😁😁
Aaaaah wapiiiii thubutuuuuu, sisi safari ndo imeivaa hiyoooo.

Watuuuu waleeeeeeee, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huna house maids shostieeee?? Fanyaaa utafuteee bhanaaaa
Unakwamaa wapiii tajiriiiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😁😁🀣😁😁😁😁 Nimelia sana yaani sana 😭😭😭😭😭hadi Kuna mmoja kanishtua dukani eti wewe ndio kaka bonge nilikimbia nilizani Polisi[/QUOTE]
 
Nimeshaweka Kila kitu sawa 😎😎 sina noma na mtu ni changamsha genge tu sijavujisha picha jamani 😭
Wee em Apiaaaa, mbonaaa sijaona mie hapaa.
Wee Vin em weka mambo sawaa, tunataka kulalaa huku hitimisho tunayoo, kesho kaziniii bhanaaa.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
😁😁🀣😁😁😁😁 Nimelia sana yaani sana 😭😭😭😭😭hadi Kuna mmoja kanishtua dukani eti wewe ndio kaka bonge nilikimbia nilizani Polisi

😁😁🀣😁😁😁😁 Nimelia sana yaani sana 😭😭😭😭😭hadi Kuna mmoja kanishtua dukani eti wewe ndio kaka bonge nilikimbia nilizani Polisi
[/QUOTE]
Vin em niwacheee, nachekaaa km mwehuuu hapaa ujuee,
Kumbeee wee ni mpoleee hivii? Mbna sitakii kuaminiiiii?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…