Sawa utapata tu mwanangu mda si mrefu meu culpaEeh endiwo
Nmeona, kama uongo achana nazo sasa mpaka uelezee mkuu wanguSoma juu huko uwone tuhuma wanazonipa
Aigoooo🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wiiTuliza hicho kiduara sasa babaetu
Usilale subiri 😂😂 m ndo naingiaNiwatakieee usiku mwemaaaa Wajaaa nyiee, mashost kwa mashostitooo.
Leo mmejuaa kutupaaa rahaa, ambazo tuli zimic.
Mlalee unonoooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cocastic niajeNiwatakieee usiku mwemaaaa Wajaaa nyiee, mashost kwa mashostitooo.
Leo mmejuaa kutupaaa rahaa, ambazo tuli zimic.
Mlalee unonoooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unachokitafuta utakipata mastaToka mbusii wewe
Sijui labda wewe umevujisha😎Picha yako kaitoa wapi? 😎
Nimeshaomba mbona na yeye aje kuniomba msamahaAsijieleze nmemaanisha hivyo...ya kuomba msamaha kwa to yeye bado nayashkilia aombee msamaha
Halafu kumuomba mtu Msamaha sio kwamba tunakubembeleza Wala kukuomba we huoni kama umemkosea? Kwanini mnakua na huu utoto kwamba mtu aki like au akicheka kwenye Post ya Adui yako nae tayari ni Adui yako? Huo ni utoto. Kama huoni umuhimu acha. Sio kama unatufaidisha sisi. 😏😏Nimeshaomba mbona na yeye aje kuniomba msamaha
Mbona nimeshaomba msamaha na kuhusu Hilo la kulike sihusiki nalo mbona sina utoto huo na yeye mwenyewe nataka aje hapa kuniomba msamaha nimekuomba msamaha mara 5 hii sasaHalafu kumuomba mtu Msamaha sio kwamba tunakubembeleza Wala kukuomba we huoni kama umemkosea? Kwanini mnakua na huu utoto kwamba mtu aki like au akicheka kwenye Post ya Adui yako nae tayari ni Adui yako? Huo ni utoto. Kama huoni umuhimu acha. Sio kama unatufaidisha sisi. 😏😏
msamaha hujaomba..!😂Mbona nimeshaomba msamaha na kuhusu Hilo la kulike sihusiki nalo mbona sina utoto huo na yeye mwenyewe nataka aje hapa kuniomba msamaha nimekuomba msamaha mara 5 hii sasa
Na mie mbona sijawahi kumkasirikia mtu☺️umesema ukweli!
Mimi nikiendaga nyuzi za mwashambwa wanamtukana nacheka lakini hajawahi kunikasirikia
Mbona nimeomba mara 5 hii ya 6 nisamehe nisamehe na yeye aje kuomba msamahamsamaha hujaomba..!😂
Mnampango wa kunifanya nilie Tena nimeomba mara 6 nataka na yeye aje hapahata mi sjaonando maana namshinikiza
Khaaa! UmeshindikanaMbona nimeomba mara 5 hii ya 6 nisamehe nisamehe na yeye aje kuomba msamaha