ππNingepata serengeti moja baridi na nyingine moto, nichanganye ili kuondoa uchovu ila sina shilingi.
Lakini nini?Uwezekano wa kupungua upo lakini
Uwezekano wakupungua upo .Lakini nini?
Mimi sitaki kupungua, napenda kua na nyama za kutoshaUwezekano wakupungua upo .
Ila nyama nyingi mno pia ni ugonjwa.Mimi sitaki kupungua, napenda kua na nyama za kutosha
Mbona kuna sehemu kibaraka wake kakuchana umekausha π€£π€£π€£Anawaonea wenginee tyuuh, anigusee mie aone ntavyo msanukiaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijaona, em kanitag nioneee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona kuna sehemu kibaraka wake kakuchana umekausha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimekutag nenda, mbona umechafuliwa mbaya sijui kwann hujaionaSijaona, em kanitag nioneee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee naomba kanitag bhanaaa
Mbonaa sionii hiyo tag, au uzi gan? Na jukwaa lipiii? Em tajaa basNimekutag nenda, mbona umechafuliwa mbaya sijui kwann hujaiona
Nimekutag banaMbonaa sionii hiyo tag, au uzi gan? Na jukwaa lipiii? Em tajaa bas
Nitajie jina la uzi na jukwaa ulipo huo uzi.Nimekutag bana
Wapotezee ss hivi wale wajingaBan imefupishwa japo na warning juuπ
Bila hizi mbanga kwangu jf haina mzuka kabisa. Waache tu kureport hawa wapumbavuWapotezee ss hivi wale wajinga
Achana nao bana, una mengi ya kufanya. Rudi jukwaa la siasa na la sportsBila hizi mbanga kwangu jf haina mzuka kabisa. Waache tu kureport hawa wapumbavu
Pamepoa sana hukoAchana nao bana, una mengi ya kufanya. Rudi jukwaa la siasa na la sports
Ndo naingia home nowπ₯Ή mwili umepigika