Eeeh unanifokea wewe ni mkurya hujui kubembelezanimesema kama mzimu sijasema ephen ni mzimu inaonekana Kiswahili kwako ni kigumu sana!
😂😂😂😂 Pole mkweUnaniita mimi mzimu! Halafu unataka nikufungulie pm? Utasubiri sana
Vijana hawajui kuiomba mkwe!😂😂😂😂 Pole mkwe
😂🤣😂Vijana hawajui kuiomba mkwe!
Mtaendelea kujilia humu wao wataendelea kutuita shemeji
Kwa hiyo vijana tuendelee kukwea mnazi 😁😁😂Vijana hawajui kuiomba mkwe!
Mtaendelea kujilia humu wao wataendelea kutuita shemeji
Umeongea point! Lakini kitambi sio kwamba nataka kibaki flat kabisa nop lazima kibaki kwa mbali cha babe wangu kulaliahakupendi mchumba mzuri ni yule anaekubadilishia life style unayoitaka umesema hutaki kitambi so kwanini unakuwa na double stand...?????
Endeleeni tu!Kwa hiyo vijana tuendelee kukwea mnazi 😁😁😂
😂😂Hovyooompaka hapa mpenzi wako anatakiwa ashituke this is double double...😂😂
☺️Mkwe wewe unajua kuiomba mfundishe kenzy usimbanieHapana mkuu, Mimi sio mkongwe. But labda tuu janja ya binti....
We pambana mkuu, Ila huyo ni Mali Hali ya mwanangu
Inapaswa umuelewe hivyo hivyo mkwe.Vijana hawajui kuiomba mkwe!
Mtaendelea kujilia humu wao wataendelea kutuita shemeji
😭😭😭Nimelia sana yaani sanaEndeleeni tu!
Unataka nitukanwe?? Wewe msaidie na karibu kumuelewa☺️Mkwe wewe unajua kuiomba mfundishe kenzy usimbanie
Kitambi ninacho kimejaa tele! Siku ile niliweka picha selfika na ulionanimekuumbua ephen hebu kuwa muwazi kitambi au sio kitambi..????
Ina utamu sana hii sema ni wachoyo sana yaani sanana bado mishangazi ya jf ndo ilivyo...🤣