Bila samahani😂ohooo! ndo nikakuita kitutufe au kipapatio....🤣🤣 hivi kumbe ulikuwa wewe samahani kwa kukutongoza...😂
Dah 😂😁ng'ombe wewe..🤣🤣
Jamani 😂😁ohooo! ndo nikakuita kitutufe au kipapatio....🤣🤣 hivi kumbe ulikuwa wewe samahani kwa kukutongoza...😂
Kwa style hii ukipata pisi humu labda ubadili id!sio wachoyo sema wanajikuta wa 2000 kumbe wa vibibi vitarajiwa so vinavunga kuringa....🤣
Naunga mkono hojasio wachoyo sema wanajikuta wa 2000 kumbe wa vibibi vitarajiwa so vinavunga kuringa....🤣
Akikujibu nitag😂3 T ndio nini mkuu?
Astaghafirullah 😁😂halikuwa lako hili kidole kimebonyeza reply nyengine itabidi liwe lako tu..😂
Hahahahahii pisi naitaka iambie ije...😅
Ndoa yako ilipita salama?Mahabaa hujambo.?