,Huoneshi kama ni fisinikiogopa mimi fisi sasa fisi atakuwa nani..?
Wengi wenye vyumba vingi ndio mafisi
Huyo jamaa ni mkenya sio?
YeahHuyo jamaa ni mkenya sio?
Anajua mno , kuna dada mmoja namwelewa mno ngoma zake anaitwa phina .Yeah
Anajua mno , kuna dada mmoja namwelewa mno ngoma zake anaitwa phina .
Bila janja janja kwa maoni yangu huyu ndio msanii mkali wa kike kwa sasa, namkubali mno.
Mimi nampenda body lake ni kinanda☺️Bila janja janja kwa maoni yangu huyu ndio msanii mkali wa kike kwa sasa, namkubali mno.
Mimi nampenda body lake ni kinanda☺️
Huyu dada mzuri mno pia ana sauti nzuri kachangamka pia kama Vanessa mdee.Mimi nampenda body lake ni kinanda☺️
😣Huyu dada mzuri mno
Nini🤗
Ni kazuri ndio😁😁
😣😣Ni kazuri ndio😁😁
Basi sio kazuri tena 😁
Ni mzuri mimi mwenyewe namkubali ila usimsifie sana na weweBasi sio kazuri tena 😁
Kuna huyo v money, na abby chansi😁😁😁Ni mzuri mimi mwenyewe namkubali ila usimsifie sana na wewe