HahahaEee bwana wewe hapo penyewe hapo link kwa chini
Ahahha nintal si unawajua wamasai?Dogo,huyo mchumba ana wezeree???
Asiwe na ufupi wa kitanzania maana atakuwa kituko.
View attachment 3080925
πππYaani mnawaza hivi tu...π
π€£π€£π€£UVCCM wanaruhusiwa kwenye hii thread
KAZI KWELI KWELI/JOBTRUETRUE
Ndio nan mkuuππππππ
Sawa sawa, friday unipokee mjini Daslamu unizungushe zungushe mjini na kunipeleka kwa huyo mchumbaAhahha nintal si unawajua wamasai?
Mwanachama wa tigo pesaNdio nan mkuuππππππ
Mno aseeeeMwanachama wa tigo pesa
Huyu ndio mchumba Mia Mia miaaaaaMno aseeeeView attachment 3080931
Kira au mia mkuu?ππHuyu ndio mchumba Mia Mia miaaaaa
Huyu siku hizi anapiga mishe dubei kwa washua ukiwa na dau unapata Raha za Dunia yupo onlyfans pia kuleMno aseeeeView attachment 3080931
Imepitaa iyooooSawa sawa, friday unipokee mjini Daslamu unizungushe zungushe mjini na kunipeleka kwa huyo mchumba
Ndio wewe uyo
Mbona watu wapo humu na wanapatana tu... kwamfano shemeji yako yupogo humu, Mimi najuaga ID yake ila yangu haijuagi ila tupo good tu ingawa ananiwinda aijue hii ID πππUkipata mchumba humu ndani si mtakuwa kama CCM na Chadema au Kiba na Mondy ! Humu wote ni wajuaji sana
Sawa sawa na nitawalipia ili muwe platinum members hapa jukwaani chagua vinSawa tajiri nitakupigia kura!