Hata mimi napokaribia huwa very angry utazan m2 mwenye mimba changa, pia huwa natoa onyo kwa wa2 wangu wakaribu nawambia kabisa BEWARE
Hii inasababishwa na mabadiliko ya hormone ivo kuleta k2 knwn as MOOD SWING ambayo wengne huwa wanafeel very sad and lonely, wengne very angry kama mimi, mwingne ana loose confidence e.t.c e.t.c