Bikra ni ile hali ya mwanamke kabla hajafanya na mwanaume yeyote tendo la ndoa,mara nying wasichana wengi huwa na ki2 kinaitwa 'hymen',ni layer lain kidog inayofunika kwa ndan ya uke,kwahiyo anapo do kwa mara ya kwanza uume hutafta njia na kuifanya hymen iachie,mara nyng dam hutoka na hapo ndipo msemo 'kuvunja bikra' unakubal.c lazma hiyo hymen iwepo pia na c lazma mwnamk atoe dam,yote inatokana na utofauti wa maumbile ya uke..