BILA SHAKA UMETUMWA NA MABEBERU!!!na nani mkuu
hiyo siyo fact ya msingi..tunaishi kwa uhalisia soma alama za nyakati mkuuNadhani wa kutoa list kama hizi at least awe hata na miaka kumi ya jf plus hao watu wengine siwajui kiukweli.
Huwezi kuwa serious kama List yako imemkosa hata Warumi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua Jf ina member wangapi?ma underground ni zaidi ya milion mkuu, ngum kuwaweka wote