Mikwara Ya Andunje
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 391
- 804
Kila mtu na maisha yake wewe elf30 kwako nyingi mwingine pesa ya sodaa!!hata kuhongi haitoshii
Humu kila mtu above 18 so ushauri km huu wapelekee wanafunzi kwenye school bash!sorry to offend uuu!!!
Hureee ngoja nitafute wa kuninunulia viatu sasa tehNitakulipia usijali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaniiiiView attachment 866877
Hapo kwenye School Bash nakazia...amPM Le Mutuz ambae kila mwaka anahudhuria
hatari kabisa@Madame B kudamshi kama kote vileukhuty na Hajar
Chagueni vya kuvaa.
Mshindwe nyie sasa
View attachment 866843Hapa mnapigilia jeans na hijab zenu juu
View attachment 866845Hapa sasa kitu cha jeans kiko ndani kwa ndani na juu mmedamshi wa baibui safiii!!!
View attachment 866847Hapa sasa mkivaa hivi mtadamshi ila mtatuchanganya wambea sisi, kwamba mmevaa baibui au jeans.
ila nyie ndo hamjali lolote.
Full kuwachora ,.. Siunaelewa tusiokunywa pombe vile tunafanyaga? Full kuwapeleleza.cute b kasikia, nasikia wasiokunywa ndo wanaongoza kuja kututangaza humu vituko vyetu.
Mara utasikia fulani alilewa akajitapikia, fulani alizima, fulani ilikuwa hivi.
Komesha ni kutoweka soda wala juice, iwe pombe na maji tu.
Jomoni Glad unakataa jina lako....tumeshaanza kujuana humu kabla ya parrrr[emoji23] [emoji126]Mara nimekua Gladness jamani [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haya masimango yana mwisho[emoji13][emoji13]Wanywe maji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wahurumie jamani wapeni thoda nyingiii
ππππ usijali mdogo wangu tuanzage tu kudunduliza mpaka Novemba zitakuwa sishatimia. ππππjamani madame B sie wavaaji baibui na hijabu itakuwaje sasa hapo cc Hajar ujichange tusikose dada
HahaaaaHureee ngoja nitafute wa kuninunulia viatu sasa teh
Ana like tuu [emoji16][emoji16]We ambiele wewee...mfyuuu zakee!!
ππππππππwacha kabisa hii inaitwa funika kombe dada usijali kujulikana tutajulikana tu kwa hizo dress@hajarππππ Dada ila sio kwa kutuotea hivyo hapa ndio tunapanga na kupangua iitokea nafasi tumeipata tutoke vipi.
Ila sie wa mashungi ikitokea tumekuja mtatujua tu kwa kweli. ππππ maana sijui kama hatutakuwa wawili tu ukumbi mzima. ππππ
ukhuty hebu pita huku.
Hahahaaa. Nimecheka Daah.Pale option ya tatu ni black dress.
Mamie baibui jeusi we tinga tu.
Juu piga nikabu yako au burkha....mkononi shika azam embe yako.
Uje tupige story and dance kidogo.
Tena nyie wavaa baibui mnakuwa na manukato hadi raha.
Uje tu aisee
Hahahahahaha [emoji23]View attachment 866746
Kutoka kushoto witnessj
Cole Williams akiwa na sweetlee na huyo kulia ni Mama Sabrina akiwaaga kuwa anakwenda kwa G
Yes huyo huyo mwenye BIG BOOBS!Huyu mwenye maziwa yaliyojaa
Ugonjwa wangu huoYes huyo huyo mwenye BIG BOOBS!
Ndo mtoe michango ili wajue mpo wangapi wajue wanachukua ukumbi size ipi sio kujisemesha halaf mwisho hamtoi michangoUkumbi kuchukua mtu70,ni kidogo sana tafuteni ukumbi Wa mtu150/200,itapendeza zaidi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamatia sasa mapeema!Ugonjwa wangu huo
Dont say I didnt warn you. Unamkabidhi vipi pesa mtu ambaye hujawahi muona na kwenye mitandao anatumia ID fake? Bora hata angekuwa mwanaume. Hawa wanawake tunaokutana nao bara barani, unamtumia elfu kumi na tano ya nauli aje kwenye tukio anakutapeli, hela harudishi na anatoa udhuru kibao, then hao hao leo ndio unakabidi 2,100,000 cash mkononi? Unategemea muujiza gani hapo zaidi ya kuwa dissapointed?Huna pesa
Usipochangia si ndio mtatusumbua kuomba offer za bia
Hahahaha! Natokea Tz hii hii[emoji2] [emoji2] [emoji2] Tanzania hii au watokea Congo....au waja kwa mguu!!