Yap! Kama coco beach pale! Ingekuwa mswano.Waliwalimit watu mno. Kuna mtu alishauri vizuri. Wangekutana eneo la wazi.
Yap! Kama coco beach pale! Ingekuwa mswano.
Anonymity inapaswa kuzingatiwa! The party shouldn't poses any profit making characteristics, tujazane pale! Nikimuona mtu na assume kuwa ni Mshana Jr hahahahahahahha nina maana tunajimix katikati ya wasio member na kuyalisha macho chakula chake.Coco beach kwa kishamba. Kuna beach nyingi nzuri. Unalipa kiingilio chako tu unakutana na wana nJf wenzio huko ndani.
Tupe mrejesho boss vipi party ilifana? Ili tufanye nyingine.Naona mmefukua kaburi....mimi napita tu
I have no ideaTupe mrejesho boss vipi party ilifana? Ili tufanye nyingine.
Wewe si ulichanga. Ina maana hukuangaika nayo tena. Ukisema huna idea unamaanisha nini? Wakati ulikuwa ni mjumbe wa kikao cha maandalizi.[emoji3][emoji3]I have no idea
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈWewe si ulichanga. Ina maana hukuangaika nayo tena. Ukisema huna idea unamaanisha nini? Wakati ulikuwa ni mjumbe wa kikao cha maandalizi.[emoji3][emoji3]
Baasi nishapata jibu[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Fanya mchakato wa maandaliziTufanye nyingine mwaka huu 15/12/2019.
NakaziaFanya mchakato wa maandalizi
Mimi siyo event manager mzuri tuwaite wenye fani zao.Fanya mchakato wa maandalizi