Hii pangua pangua za kila leo za Samia zingejadiliwa kwa muktadha wa strentghs and Weaknesses za waliotenguliwa na walioingizwa/chaguliwa! What more do we expect from the new appointees? compared to the outgoing ones
Mama anavuruga vuruga kwenye chungu hicho hicho.Jiulize kwanini aliwatoa Kabudi na Lukuvi na leo kawarudisha?
Mama anavuruga vuruga kwenye chungu hicho hicho.Jiulize kwanini aliwatoa Kabudi na Lukuvi na leo kawarudisha?