JF GreatTHINKER,wapo wachache ila wengi hawapo ni porojo na kudanganyana.

JF GreatTHINKER,wapo wachache ila wengi hawapo ni porojo na kudanganyana.

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Kwa watumiaji wa mtandao wa Jf ama "GT" kwa jina lingine watakiri kwamba moja kati ya sifa kubwa za mtandao huu ni watu kuwa na sifa ya GT.
Sifa hii ya pekee hufanya jamiiforums kuwa na sifa ya utofauti na mitandao mingine Tanzania.
pamoja na uGT Lakini ni asilimia ndogo sana ya member wa hapa wenye sifa ya uGT,lakini ni sacbu gani hufanya uGT kuwa kama kuthania na si uhalisia :
1-Jf member wengi wamekuwa wavivu wa kusoma kwa makini thread na comment hali inayopelekea hata mtu anapo reply au kutoa comment kujikuta akipita upande wa juu wakati comment au thread imeenda kulia.
2-Jf member wamekuwa wakiongozwa na mihemko na hisia hali ipelekeayo kujivua uGT kwa kulazimika wakati mwingine kukubali jambo ambalo silo.
3-Jf member licha ya kuwa na wataalamu mbalimbali lakini bado wataalamu hao hawatumiki ipasavyo.
tazama aina za majukwa yaliyopo hapa,uhudhuriaji wa member ndipo utagundua kuwa wengi hatufahamu maana ya greatthinker (GT)
. . . . . . .subiri uwaone. . . . . . . .
 
Humu wachache...humu lishakuwa jukwaa la wafia siasa na mihemko....ingawa wapo ila wanahesabika
 
Back
Top Bottom