[emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]
Moja katika vitu ninavyohisi ni ubaguzi ni hilo la kuulizana umri. Unataka kunibagua kwa umri wangu?
Umejibu vzr, pia nimejua kuwa kweli wewe ni mama etuMoja katika vitu ninavyohisi ni ubaguzi ni hilo la kuulizana umri. Unataka kunibagua kwa umri wangu?
Kwa ufupi, chukulia kuwa nilikuwepo kabla ya awamu ya kwanza. Alhamdulillah nimeziishi awamu zote tano baada ya Uhuru na Malkia wa Kiingereza alishakuwa Malkia wangu na nnamuheshimu.
Kwa sasa elimu yangu haina umuhimu kwani nimejifunza kuwa kuelimika si kwenda shule pekee. Nimeona wengi wameenda shule kusomea ujinga.Elimu yako mama/bibi, pili umeolewa? kama ndio wewe ni mke wa ngapi kwa mmeo
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaKwa sasa elimu yangu haina umuhimu kwani nimejifunza kuwa kuelimika si kwenda shule pekee. Nimeona wengi wameenda shule kusomea ujinga.
Sijaolewa. Nimeoana na mume wangu.
What are you insinuating? Be bold and come out of the closet fag.Am still on research uncle Dada & your contribution on page is welcome, let's work for betterment of our continent Africa.
Hilo ni kweli kabisa. Ilifikia mpaka Waislam kupunguziwa points zao wakati Ndalichako alipokuwa mkuu wa mitihani. Waislam mpaka wakaingia mitaani kuandamana mpaka Ndalichako akaachia ngazi.Wewe ni kati ya members wenye uelewa mkubwa wa mambo ya kidini na kidunia pia (kwa mtazamo wangu).
Pia umekuwa moja ya watu ambao wako vocal katika kutetea dini yako bila kujificha.
Swali:
Kumekuwa na malalamiko katika vipindi kadhaa vya nyuma kwamba NECTA inawafelisha mitihani baadhi ya watoto wa kiislamu, nini mtazamo wako juu ya hili?
Kwa hiyo avatar yako sijui kama atakuruhusu i bet atakwambia iseme shida yako hapa hapa
Una mtazamo gani juu ya Raisi wetu mpendwa wa JMT ndugu JPM unafikiri ni chaguo lililokuja katika kwa wakati sahihi?Hilo ni kweli kabisa. Ilifikia mpaka Waislam kupunguziwa points zao wakati Ndalichako alipokuwa mkuu wa mitihani. Waislam mpaka wakaingia mitaani kuandamana mpaka Ndalichako akaachia ngazi.
Magufuli alipoingia madarakani akatuzaba Waislam kofi la kikelb kwa kumrudisha wizara hiyohiyo na kumfanya Ndalichako awe waziri wa elimu. Hatari.