Jf ilinikutanisha na tapeli wa mapenzi

Mhhh pole mwaya na asante kututahadhalisha.:A S-coffee:
 

Hii comment yako uliyopost pindi ulipo mpata inaonyesha ni kama tayari amri ya sita ilisha vunjwa, vacation kujuana vizuri kisha picha zingine jukwaa la kikikubwa?
 
Matapeli, wawe wa mapenzi au aina yoyote, wapo kila pahali. kama alivyosema mmoja, hata makanisani, masinagodi na misikitini. Hawa watu wamesomea, wakifahamu tu udhaifu wako wanakupa darasaa.

Na pengine ni ukiwa na tahadhari ni rahisi zaidi kumkamata tapeli wa mitandaoni, hasa kwa vile ila za mitandaoni zinajulikana, kuliko yule unayemwona kila siku kumbe ni chui kavaa ngozi ya kondoo.

Tumeshajadili hapa mara nyingi faida na hasara za mitandao, na wengi tunakubaliana kuwa "ikitumiwa vizuri inakuwa na faida nyingi kuliko hasara". Kitu muhimu ni kuwa macho.

Pole sana Nakadori kwa yaliyokukuta na pia Hongera sana kwa kuponea chupuchupu.
 
Pole sana, sio wewe tu, kuna dada mwingine alikutana na kisa kinafanana na cha kwako humu humu, dada wa watu akafa akaoza yaliyomkuta ni kutumiwa sms kila siku na mwanamke wa gume gume akimsihi amuachie gumegume lake, mpk ikambidi dada wa watu abadili namba ya simu. Dawa yao ni kuwaweka tu hadharani. Gumegume linaitwa Chip...zi, walaaniwe kabisa watu wa namna hii kwa kucheza na hisia za watu. Poleni sana
 

Hebu pitia hiyo mistari yako,halafu utajua tofauti ya mpangilio na kukurupuka.Halafu kawaida yangu,duh! umenifananisha
 
Pole sana dada,ndo wanadam hao!
 
wapo watu humu wamekutana na wamefunga ndoa
wapo ambao wamepata wapenzi na wapo pamoja
wapo ambao wametapeliwa na wanalia....
just be careful......

uwongo ni mwingi humu kuliko ukweli but msiwe pessimistic.............
still watu wa kweli wapo humu.....ingawa ni wachache
 
kumbe watu wanaposema wanatafuta wapenzi/wachumba humu huwa wako serious? yaani kwa kweli sikuwa naamini kwamba watu wapo serious, nilidhani wanatania tu.
Pole sana my dear.
 

Ni kweli ..lakn kama ilivyo sehemu nyingine yoyote hata kanisani ..inahitaji neema ya Mungu kujua mkweli...
 
Hii comment yako uliyopost pindi ulipo mpata inaonyesha ni kama tayari amri ya sita ilisha vunjwa, vacation kujuana vizuri kisha picha zingine jukwaa la kikikubwa?
watu hamdanganyiki???????????? lakini ndo zetu wadada, mambo yakiharibika huwa tunasema hatukufika mbali, ha haaaaaaa.
 
Ni kweli ..lakn kama ilivyo sehemu nyingine yoyote hata kanisani ..inahitaji neema ya Mungu kujua mkweli...
Ni kweli, lakini unapotoa tangazo kwa kila mtu kuwa unatafuta mpenzi unategemea nini? matapeli watakuja wengi kuliko genuine..... ni mtazamo wangu tu
 
rafiki, hivi kuna kuwa careful wakati upo desperate?
 


ni kweli TB ila wengi wa akina dada wanaamini ahadi ya mafanikio kuliko uhalisia wa mahitaji halisi .. kani wao ndoa ndo muongozo wao kuliko kutengeneza mazingira ya ufaham,u
 
Baadhi ya wakaka huku wako so fake kushinda unavyoweza kuamini...ushauri wangu kuweni waangalifu.
 
Ni kweli, lakini unapotoa tangazo kwa kila mtu kuwa unatafuta mpenzi unategemea nini? matapeli watakuja wengi kuliko genuine..... ni mtazamo wangu tu

Inawezekana ni kweli..Ninachojua mm kama unaongozwa na Roho wa Mungu lazima atakuonyesha njia.Haijalishi ni ipi ilmradi isiwe kinyume na maandiko matakatifu..Bible.
All in all kuwa desperate ndio tatizo kubwa kwani linawafanya watu wawe vipofu na wazito kufikiri.
 
kati ya makosa ambayo uliyafanya ni kutokutana na huyo kijana uso kwa uso na mkaongea kwani waweza mlaumu kumbe kuna mtu labda kampiga chini na anamkomoa hata kama umeamua kuachana ni vzr mngekutana na kueleza kwanini hasa na usikilize upande wa pili. kwa technolojia ya sasa picha sio sehemu ya kuamini sana na ukumbuke kuwa huwezi kuta mwanaume bikiri. mfano naweza kuwa nimepiga picha naye mialka miwili nyume then nikabadili tarehe ya picha.

hata hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…