Jf ilinikutanisha na tapeli wa mapenzi

Mmhh
hii itaendelea kutokea kwa wote wanaotafuta mapenzi.
Mapenzi hayatafutwi iwe mitandaoni au huku mitaani tunapoishi,
mapenzi yanatokea kama zao la mahusiano mazuri.

Nakuunga mkono sema tu moile haina thanks ningekugongea
 
wengi wanaotapeliwa
ni matapeli pia..........

sijui ni kwa nini mtu aamini watu wa mtandao na asiwaamini wa mitaani wakati watu ni hao hao
 
sioni faida ya kudanganyana
wewe kama unatafuta wa starehe si useme tu natafuta wa starehe sitaki ndoa wa commitments
mbona wapo weengi humu wako tayari kustarehe na waume na wake za watu bila kuanzishiana threads????/
 
Reactions: BPM
lakini kumbuka mazingira mnayokutana na mwenza pia hutengeneza maisha na aina ya kuishi au mahusiano
 

ubarikiwe weweww uliemkosa kosa mume wa mtu na huruma zako
siku nyingine usirudie tena
 
sioni faida ya kudanganyana
wewe kama unatafuta wa starehe si useme tu natafuta wa starehe sitaki ndoa wa commitments
mbona wapo weengi humu wako tayari kustarehe na waume na wake za watu bila kuanzishiana threads????/
rafiki!
 
Chunga sana, kuna kisa kililetwa juzijuzi na mwana JF wa zamani kuhusu haya mapenzi ya kwenye mtandao kumbe mtu alikuwa unausambaza UKIMWI makusudi kabisa. Pole.

Hapa duniani kuna watu wamewekea moyo wa shetani kabisa.
Haya mambo ya kubanjuana bila kujuana afya hayafai hata kidogo.
:A S 39:
:confused2::nono:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…