JF imenisaidia sasa nafurahia penzi


Akwaaba!
 
Ndevu mbili mbona huelewi zoezi la kubana mapaja linafanywa wakati akienda kukojoa anakojoa huku ana zuia kwa kubana mkojo usitoke zoezi hilo hufanya misuli ya uke kuwa imara. Tatizo hilo la uchi kuwa mpana huwa linatokea pale wakinamama wanapojifungua. Kwa taarifa zaidi tafuta kitabu cha Tendo la ndoa ili ufaidi zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…