JF ingekuwa YouTube

JF ingekuwa YouTube

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Kama JF ingekuwa kama YouTube ili kuvutia wasomaji hivi ndivyo nyuzi zingesomeka.

1- Zulu man with some power na miminimkulimaakachekasana waomba kufupishwa majina yao.
2- beaf la Bujibuji na The Icebreaker laingiliwa na ndege JOHN
3- Mshana Jr akutwa na ungo kwenye nyumba ya SHIMBA YA BUYENZE
4- Duduke afanya kolabo na kasomi
5- Smart911 aachana na mahondaw
6- BAK azua gumzo kwenye nyuzi ya vituko mitandaoni
7- rikiboy asema atafute Uzi wake wa kula tunda kwa masihara
8- Infantry Soldier akamatwa akidukua nyuzi za Kiduku
9- MAMA B afumaniwa na Enstein
10- JF yasema itafuta Nyuzi za gb1

Yaani JF ingekuwa kama YouTube tungehangaika sana.
 
Kama JF ingekuwa kama YouTube ili kuvutia wasomaji hivi ndivyo nyuzi zingesomeka.

1- Zulu man with some power na miminimkulimaakachekasana waomba kufupishwa majina yao.
2- beaf la Bujibuji na The Icebreaker laingiliwa na ndege JOHN
3- Mshana Jr akutwa na ungo kwenye nyumba ya SHIMBA YA BUYENZE
4- Duduke afanya kolabo na kasomi
5- Smart911 aachana na mahondaw
6- BAK azua gumzo kwenye nyuzi ya vituko mitandaoni
7- rikiboy asema atafute Uzi wake wa kula tunda kwa masihara
8- Infantry Soldier akamatwa akidukua nyuzi za Kiduku
9- MAMA B afumaniwa na Enstein
10- JF yasema itafuta Nyuzi za gb1

Yaani JF ingekuwa kama YouTube tungehangaika sana.
3- Mshana Jr akutwa na ungo kwenye nyumba ya SHIMBA YA BUYENZE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama JF ingekuwa kama YouTube ili kuvutia wasomaji hivi ndivyo nyuzi zingesomeka.

1- Zulu man with some power na miminimkulimaakachekasana waomba kufupishwa majina yao.
2- beaf la Bujibuji na The Icebreaker laingiliwa na ndege JOHN
3- Mshana Jr akutwa na ungo kwenye nyumba ya SHIMBA YA BUYENZE
4- Duduke afanya kolabo na kasomi
5- Smart911 aachana na mahondaw
6- BAK azua gumzo kwenye nyuzi ya vituko mitandaoni
7- rikiboy asema atafute Uzi wake wa kula tunda kwa masihara
8- Infantry Soldier akamatwa akidukua nyuzi za Kiduku
9- MAMA B afumaniwa na Enstein
10- JF yasema itafuta Nyuzi za gb1

Yaani JF ingekuwa kama YouTube tungehangaika sana.
Hatari sana
 
Kama JF ingekuwa kama YouTube ili kuvutia wasomaji hivi ndivyo nyuzi zingesomeka.

1- Zulu man with some power na miminimkulimaakachekasana waomba kufupishwa majina yao.
2- beaf la Bujibuji na The Icebreaker laingiliwa na ndege JOHN
3- Mshana Jr akutwa na ungo kwenye nyumba ya SHIMBA YA BUYENZE
4- Duduke afanya kolabo na kasomi
5- Smart911 aachana na mahondaw
6- BAK azua gumzo kwenye nyuzi ya vituko mitandaoni
7- rikiboy asema atafute Uzi wake wa kula tunda kwa masihara
8- Infantry Soldier akamatwa akidukua nyuzi za Kiduku
9- MAMA B afumaniwa na Enstein
10- JF yasema itafuta Nyuzi za gb1

Yaani JF ingekuwa kama YouTube tungehangaika sana.
Ngoja nijiverifai nitumie jina halisi sababu ni fupi sana,😅😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom