JF isingenoga bila ya ID fake

JF isingenoga bila ya ID fake

bitebo7

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2015
Posts
858
Reaction score
597
Habari zenu ndugu zangu wa JF,

Kama tunavyojua umu JF wengi tunatumia ID fake na niwachache sana wanaofahamiana ndani na nje ya JF.Unaweza kuta mtu unamfahamu nje ya JF, lakini ndani ya JF usimfahamu uyu ni nani? Na yeye asikufahamu wewe ni nani?

Baazi ya member wa JF, wakifahamika kwa namna moja ama nyingine upelekea kuchange ID zao, ili mradi tu waendelee kuvuruga pale anapojiskia kwa sababu anakua huru kuongea anachojiskia tofauti akiwa anafahamika.

Hapa ndipo nilipogundua kua bila ya ID zetu fake JF isingenoga kabisa.Tungejuana majina humu tungeoneana aibu na tusingeambiana ukweli na mengi mengineyo.

Naomba nitoe shukran zangu za dhati kwa aliegundua ID fake,maana ametustili na mengi umu!
 
Kabisa.......na hata ukinijua kwa ID yangu kama hivi Preta.........ukiniletea mauzauza........nakuja na ID nyingine nakuchana live vilevile........halafu nakuja tena na Preta nakuchekea.........nakua nshatoa dukuduku.......wewe unachemka mimi nacheka.........
nzuri eeeeh.......
 
Kabisa.......na hata ukinijua kwa ID yangu kama hivi Preta.........ukiniletea mauzauza........nakuja na ID nyingine nakuchana live vilevile........halafu nakuja tena na Preta nakuchekea.........nakua nshatoa dukuduku.......wewe unachemka mimi nacheka.........
nzuri eeeeh.......

Yaani bora tuendelee ivi ivi tusijuane
Maana tutakosa mambo mengi
 
Wewe unaiona JF inanoga lakini kuna watu wanaiona JF ni chungu wanatamani
hata ingefutwa, yote kwa yote mimi ID yangu sio feki ni yenyewe hasaaa!
 
Wewe unaiona JF inanoga lakini kuna watu wanaiona JF ni chungu wanatamani
hata ingefutwa, yote kwa yote mimi ID yangu sio feki ni yenyewe hasaaa!

Mmmmmh! GAZETI?
 
Wewe unaiona JF inanoga lakini kuna watu wanaiona JF ni chungu wanatamani
hata ingefutwa, yote kwa yote mimi ID yangu sio feki ni yenyewe hasaaa!

Hasa hao wanaochinja albino........na waizi wa EPA na escrow..........ndio wapo mbele kupigania sheria ya shut up Tanzania.......
 
Ingekua poa tungetumia majina halisi
 
Hata hii mikasa Kuna ile mikasa ya kweli lakini ni ya kudhalilisha mfano kumfumania mkeo inabidi ubadili ID ndipo uadisie humu huwez tumia ID ya siku zote
Ndio maana mikasa ya kusisimua mingi ni ID Mpya
 
Hata hii mikasa Kuna ile mikasa ya kweli lakini ni ya kudhalilisha mfano kumfumania mkeo inabidi ubadili ID ndipo uadisie humu huwez tumia ID ya siku zote
Ndio maana mikasa ya kusisimua mingi ni ID Mpya

Uko sahihi
 
hee kumbe watu mnatumia ID fake, over my dead body
 
Utaratibu wa ID's zisizo na majina halisi hutumiwa na forums na JF kama forum imeendelea kuuenzi tu...

JF sio wa kwanza kufuata utaratibu huu na wala hawatakuwa wa mwisho...

Hivyo hakuna jambo la kushangaza...
 
Hata hii mikasa Kuna ile mikasa ya kweli lakini ni ya kudhalilisha mfano kumfumania mkeo inabidi ubadili ID ndipo uadisie humu huwez tumia ID ya siku zote
Ndio maana mikasa ya kusisimua mingi ni ID Mpya

Upo sahihi sana!
 
Back
Top Bottom