JF kuna mambo... Kumbe ni Dume lenzako

Hahahaaaaaaaaaaaaaa uwiiiii jamani jamani mbona hukunipatia huu mkasa; enhe sasa ikawaje hahaaa umenifurahisa Buji2. Nitafuteeeee
 
Sauti nyororo kama ya ndege mwanana, tumechat kwenye web kam, kitu cha ukweli ile mbaya.
Nlipofika mombasa akaja kunipokea, kavaa baibui, kwa uchu nikawa namtamani.
Tulipoenda hotelini sasa, si ndio nkashangaa anatoa ky jelly kwenye hand bag yake
pamoja na kuongea nae bado hukujua sio mwanamke!?job true true!
 
Leo utakuwepo anga zipi??
Hatujaonana, hebu lazima tuonane twende pamoja kwa speed za pikipiki na baichikeli
Hahahaaaaaaaaaaaaaa uwiiiii jamani jamani mbona hukunipatia huu mkasa; enhe sasa ikawaje hahaaa umenifurahisa Buji2. Nitafuteeeee
 
hali yangu ni njema lizzy,naona unapambana na jinsi ya kuwatambua kwa keyboard

Ah mi wala staki!Acha wanidanganye tu maana mimi nawadanganya zaidi!Lolz
 
ukishaona dume linajifanya mwanamke, jua kabisa chembehai za ushoga zipo na akikutana na wataalam haponi
 
Kuna binti alikuwa akinieleza kuwa yuko Mombasa, kumbe ni shoga bwana, nilifunga safari hadi huko baada ya maongezi kunoga hapa JF na kwenye simu.

Ha ha haaa, sasa mkuu huko Mombasa kulichimbika au???
 
Mimi ni mwanaume, lakini natokea hapa kama mwanamke.
 
kuna binti alikuwa akinieleza kuwa yuko mombasa, kumbe ni shoga bwana, nilifunga safari hadi huko baada ya maongezi kunoga hapa jf na kwenye simu.

ulipona kweli?
 
Kuna binti alikuwa akinieleza kuwa yuko Mombasa, kumbe ni shoga bwana, nilifunga safari hadi huko baada ya maongezi kunoga hapa JF na kwenye simu.

Vipi ulivyofika huko ulijilipa ili kupunguza hasira au?:clap2:
 
Kwa sisi madume ya mbegu tuna uwezo wa kujua kama unayewasiliana nae ni dume au jike. Wanawake wana namna yao ya kuongea na kuandika.
 
Sauti nyororo kama ya ndege mwanana, tumechat kwenye web kam, kitu cha ukweli ile mbaya.
Nlipofika mombasa akaja kunipokea, kavaa baibui, kwa uchu nikawa namtamani.
Tulipoenda hotelini sasa, si ndio nkashangaa anatoa ky jelly kwenye hand bag yake

jamani buji buji kweli?maana maneno yako,na hiyo avatar yako huwa nakufananisha sana na huyo actor wa ki nigeria.maana na yeye uigizaji wake ni wa ki comedy na kitapeli
 
Kwa sisi madume ya mbegu tuna uwezo wa kujua kama unayewasiliana nae ni dume au jike. Wanawake wana namna yao ya kuongea na kuandika.

na m.me akiamua kuigiza ataigiza kuandika kwa aina ya kike,ila kuongea utamjua tu.
 
Kwa sisi madume ya mbegu tuna uwezo wa kujua kama unayewasiliana nae ni dume au jike. Wanawake wana namna yao ya kuongea na kuandika.
Mmmh shauri yako!! Angalia usije kulia siku moja.
 
mkuu hapo umenena,naona watu wanamalizana na avatar kwa kudhani ndo uhalisia wa mtu mwisho wa siku kutakuwa na kukimbiana hapa

Ila mie mwenzenu naamini Nyamayo ni mdada!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…