Ondoa shaka maaaNasubiri zawadi hiyo mama
Yaani kila ukichungulia hola duu jamani mazoea yana tabu sanaZa kifungoni hazikua Neema niliwamiss watu wangu humu
HahaaaaaaMkwe sijamuelewa huyu. Anataka kunibania
Haaa haaaa kama kaugonjwa flani hiviMwenyewe nilikua naingia ingia kujaribu
Ilituumiza sana na kuboreka sanaSiku mbili za mwanzo nilipata shida sana. Yani nilikua kama siamini hivii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimekumbuka kitu..ngoja nikae kimya hahahahaBikini dear
Mzima lakin?Muone acha unabe mfyuuu.
Sawa kangi...nliomba irud kabla sijachaguliwa kuwa wazir
Mimi nitakutupia uzi... usijali mama.Mzee ndo nani?? Ntajiwish tu mwenyewe hakuna atakaenitupia uzi najua
Hongera my...kumbe umezaliwa mwezi mmoja na mie...Maombi yangu ya siku zote ilikua JF ilirudi kabla ya 5th July ili nisherehekee na family yangu ndogo ya JF. Nashukuru Max amefanikiwa kuirudisha kabla ya hiyo siku.
Wale wa zawadi naanza kupokea kuanzia leo jamani.